Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumapili, 1 Machi 2015

KEPTENI KOMBA KUAGWA LEO DAR.

 
Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na Mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji chama cha CCM LA Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni Mstaafu John Komba unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Karimjee. Mwili huo utaagwa kuanzia saa nne asubuhi kabla ya kusafirishwa kwenda Mbinga kwa maziko siku ya Jumanne.
R.I.P Komba

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni