Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 14 Januari 2015

MUASI WA MAYI MAYI AJISALIMISHA DRC

Kanali mmoja wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeaasi Jeshi la Kongo na kujiunga waasi wa mai mai YAKUTUMBA,alijisalimisha hapo jana kwanye jeshi la taifa serikali katika kijiji cha mkera jimbo la kivu kusini,
Pamoja naye waasi wengine nao waliisalimisha na kujiunga na jeshi la DRC.
Mwandishi wetu wa Mashariki mwa Kongo Byobe Malenga ametutumia taarifa ifuatatyo.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni