Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 14 Januari 2015

WILFRIED BONY;AJIUNGA RASMI CITY


Kifaa Bony
Mshambuliaji wa Wilfried Bony amesaini mkataba wa miaka minne unusu kuichezea timu Manchester City wenye thamani ya £28milion.
Bony amekubali mkataba huu na atavaa jezi namba 14iliyokua ikitumiwa na nyota na Javi Garcia.
Baada kusajiliwa na City Bony ameelezea ni "Ni heshima kubwa kuwa hapa na ni changamoto kwangu".
Mchezaji huyo mwenye miaka 26 alitua ligi ya England mwaka 2013 akijiunga na klabu ya Swansea akitokea Vitesse Arnhem ya Uholanzi kwa ada ya uhamisho ya £12milioni na kuwa moja kati ya wafungaji bora katika ligi kuu.
Kwa uhamisho huu unamfanya Bony kuwa mmoja kati ya wachezaji wa Afrika wanaolipwa pesa nyingi duniani katika mchezo wa soka.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni