Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 14 Januari 2015

PAULO RADCLIFF KUSTAAFU RIADHA


Paula Radcliffe 
Mwanariadha Paula Radcliffe raia wa Uingereza anatarajia kustaafu kucheza mchezo huo mwishoni mwa mwezi wanne.
Paula mwenye umri wa miaka 41, ambaye alishinda mara tatu katika michuano ya marathoni ya
Radcliffe, ambae aliweka rekodi ya kukimbi kwa masaa mawili dakika 15 na sekunde 25 katika michuano ya mwaka 2003
Mratibu wa riadha wa London Hugh Brasher. “Amesema tumemteua Paula kushiriki michezo ya marathoni kwa mara mwisho kabla hajapumzika”.
Mbio hizo za marathoni zitafanyika tarehe 26 mwezi wa nne.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni