Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 15 Januari 2015

SIMEONE;TORRES MWANAUME



 Ni mara ya kwanza Torres kuifungia Atletico Madrid tangu ajiunge nayo
Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amesema Fernando Torres amerejea kuwa ''mwanaume'' ndivyo alivyomuita hivyo baada ya mshambuliaji huyo kufunga magoli yake ya kwanza tangu alipojiunga na Atletico madrid.
Mchezaji wa kimataifa wa Uhispania Torres alijiunga na Liverpool mwaka 2007.
Torres alijiunga na Atletico mwanzoni mwa mwezi huu na aliifungia klabu hiyo magoli mawili katika dimba la Bernabeo na kutoka sare ya mabao 2-2 ilipokutana na Real Madrid katika michuano ya Copa del rey
Torres naye ameonesha furaha yake na kushukuru wapenzi wake kwa kumuunga mkono.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni