Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 14 Januari 2015

UDINI,CHUKI MARUFUKU,UFARANSA


Waziri wa sheria wa Ufaransa Christiane Taubira
Serikali ya Ufaransa imesema hatua kali zitachukuliwa dhidi ya watu watakaobainika kujihusisha na masuala ya ugaidi na vitendo vya kueneza chuki kwa misingi ya tofauti za kidini na itikadi.
Waziri wa sheria wa Ufaransa Christiane Taubira amesema kuwa maneno ya chuki,ama vitendo vyovyote vinavyohusiana na ubaguzi wa kidini ni lazima vipigwe vita.
Mamlaka za kisheria za Ufaransa zimearifu kuwa hadi sasa tayari kesi 54 zimekwisha funguliwa dhidi ya wanao toa maneno yanayoashiria ugaidi ikiwa ni wiki moja tangu kutokea shambulio la kigaidi la gazeti Charlie Hebdo.
Ripoti kuhusiana na wanaoshikiliwa na mkono wa sheria wa Ufaransa ,mchekeshaji Dieudonné,anakabiliwa na mashitaka kufuatia kubainika kuwaunga
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni