Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 13 Novemba 2014

NYOTA NDOGO AAMKA ASUBUI NA KUKUMBANA NA PETE YA UCHUMBA.

 nyotandogoinside_20140405
Uchumba, ndoa zote ni taarifa nzuri kuzisikia. Una taarifa kuhusu Nyota Ndogo?
Mwanamuziki huyo kaingia kwenye orodha ya mastaa wanaoelekea kubadilisha status zao baada ya kuvalishwa pete ya uchumba.
Nyota Ndogo ambaye jina lake halisi ni Mwanaisha Abdalla amevalishwa pete hiyo na Henning Neilsen raia wa Denmark baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa zaidi ya miezi tisa.
Nyota Ndogo amesema ameamka asubuhi na kuvalishwa pete hiyo, anamshukuru Mungu kwa hilo kwani mpenzi wake hampendi yeye peke yake bali anawapenda na watoto wake wawili na anatarajia ndoa yake itakuwa ya kawaida ambayo watu wachache watakaopata nafasi ya kuhudhuria ikiwemo ndugu na marafiki wachache.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni