Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 10 Novemba 2014

MWANAMKE ASHAMBULIWA KWA KISU HADI KUFA UKO ISRAELI

 
 Polisi wa Ki Israel huko West Bank
Mwanamke mmoja mwenye asili ya Israel ameshambuliwa kwa kisu na kusababisha kifo chake katika eneo la West Bank, tukio hilo limepisha kwa saa moja baada ya askari mwenye asili ya Israel pia kushambuliwa na kuumizwa vibaya mjini Tel Aviv.
Polisi wametoa taarifa ya kwamba washambuliaji wote wa majeruhi hao ni raia wa Palestina.
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameahidi kutumia kila mbinu ili kukomesha kabisa mashambulizi hayo.
Inasadikika kwamba mashambulio ya namna hii yametiwa kasi na suala la kuendelea kuwepo na mpango wa makazi mashamriki mwa Jerusalem na suala la haki ya kuabudu katika eneo nyeti la msikiti wa Al Aqsa ulioko mjini Jerusalem ambao pia hujulikana kama hekalu la milimani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni