2. Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe kwa hali zote mbili .Hata kama ukiwa huna furaha , hujiona mwenye jukumu kuhakikisha unakuwa nayo kwa namna yoyote ile .
3. Ni yule atayekuwa tayari kukusikiliza kwa kile utakachosema, hatajali umezungumza baya au zuri . Kwa bahati nzuri ni kwamba , ikiwa umekosea , yeye atachukua jukumu la kukuweka sawa.
Asiye na penzi la dhati, ukikosea kwake ni kichekesho . Badala ya kukurekebisha na kukuweka kwenye mstari, atakucheka .
ITAENDELEA USIKU,,,,,,,,
MC.RAY.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni