Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatano, 12 Novemba 2014

LEO USIKU KATIKA PAGE YA MAHUSIANO, SIFA KUMI ZA KUTAMBUA MPENZI BORA KABLA AMJAINGIA NDANI YA NDOA.

1. Mpenzi wa kweli ni yule ambaye hatangoja kujua nini unahitaji yaani hana sababu ya kusubiri kuombwa ndiyo atoe msaada.Kwa kuwa ana mapenzi ya dhati na anajua mahitaji yako , hawezi kusubiri kushurutishwa au ionekane kama vile anatoa hongo . Kipengele hiki kinawahusu wanaume zaidi .
2. Ni yule atakayejua wakati gani huna furaha au una furaha na atakuwa na wewe kwa hali zote mbili .Hata kama ukiwa huna furaha , hujiona mwenye jukumu kuhakikisha unakuwa nayo kwa namna yoyote ile .
3. Ni yule atayekuwa tayari kukusikiliza kwa kile utakachosema, hatajali umezungumza baya au zuri . Kwa bahati nzuri ni kwamba , ikiwa umekosea , yeye atachukua jukumu la kukuweka sawa.
Asiye na penzi la dhati, ukikosea kwake ni kichekesho . Badala ya kukurekebisha na kukuweka kwenye mstari, atakucheka .
ITAENDELEA USIKU,,,,,,,,
MC.RAY.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni