Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 10 Novemba 2014

KESI YA CHIDI BENZ YAHAIRISHWA


   Msanii wa kizazi kipya Rashidi Mkwiro.aka 'Chidi Benz'
 Kesi ya msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro aka 'Chid Benz' ya kukamatwa na dawa za kulevya imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu Jijini Dar es Salaam na kuhairishwa tena hadi Desemba mosi, mwaka huu.
Hii imekuja baada ya upande wa Jamhuri kuomba kesi hiyo ipelekwe mbele ili kukamilisha upelelezi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni