Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 6 Februari 2015

WAASI WA HOUTHI WACHUKUA SERIKALI YA YEMEN


Waasi wa Houthi wachukua uongozi Yemen
Waasi wa Shia wametangaza kutwaa uongozi wa kisiasa nchini Yemen, kuvunjilia mbali bunge, kumwondoa rais na nafasi hiyo kuchukuliwa na baraza la urais.
Wahouthi hao walitangaza hayo katika mkutano wa siasa walipokuwa najeshi na wakuu wa makabila katika ikulu ya nchi katika mji mkuu, Sanaa.
Waasi wa Houthi
Tukio hilo linajiri baada ya mazungumzo yaliyoongozwa na umoja wa mataifa ya kukomesha mzozo wa Yemen kusambaratika.
Rais Mansour Abdrabbuh Hadi na serikali yake walijiuzulu mwezi uliopita baada ya waasi hao kuthibiti mji wa Sanaa.
chanzo bbc

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni