Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 6 Februari 2015

WATAALAMU WA AFYA KUJADILI


Maandalizi ya dawa ya ebola nchini Liberia 
Kwa upande mwingine madaktari na maafisa wa afya wanakutana mjini London Ijumaa kujadili ni mambo gani ya kuzingatiwa kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika mataifa ya Afrika Magharibi.
Wajumbe watakuwa wanaangalia uharaka wa kimataifa katika kukabiliana na mlipuko na namna uduni wa miundombinu ya sekta ya afya katika nchi za Guinea, Liberia na Sierra Leone ilivyosababisha kuenea kwa ugonjwa huu. Wataalam pia watakuwa wanchunguza namna ambavyo dawa mpya za tiba na chanjo ya ugonjwa wa Ebola zinavyofanya kazi.
Alhamisi shirika la utafiti wa tiba la Ufaransa limesema matokeo ya dawa mpya dhidi ya ebola ambazo zinafanyiwa majaribio nchini Guinea zimeonyesha matokeo ya kutia moyo katika kupambana na ugonjwa huo.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni