Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 6 Februari 2015

RAIA WA JORDAN WAANDAMANA KUPINGA ISS


Raia wa Jordan waandamana kupinga islamic state 
Maelfu ya riaa wa Jordan wameandamana katika mji mkuu , Amman, wakiunga mkono serikali yao katika vita inavyotekeleza dhidi ya kundi la Islamic State baada ya kumuua rubani wa ndege za vita wa Jordan.
Serikali ya Jordan inasema kuwa ndege zake za vita zilifanya mashambulizi kadhaa ya angani zikilenga wapiganaji wa Islamic State huko Syria Alhamisi.
Maafisa wa usalama wa Jordan wanaarifiwa kuwa ndio waliokuwa wakilengwa na mashambulizi huko Raqqa, eneo lenya ufuasi mkubwa wa IS nchini Syria.
Hadi sasa mataifa manee ya kiarabu yakijumuisha Jordan yanahusika katika kampeni kali inayoongozwa na Marekani dhidi ya Islamic state kupitia mashambulizi ya angani.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni