Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumamosi, 7 Februari 2015

UCHAGUZI WA NIGERIA HAUNA UHAKIKA.

 Picha za Buhari na Jonathan, wagombea urais Nigeria
Tume ya uchaguzi ya Nigeria imekutana na waakilishi wa vyama vyote vya siasa vilivyoandikishwa kujadili iwapo uchaguzi mkuu wa Jumamosi (14/02/15) unafaa kuakhirishwa.
Rais Goodluck Jonathan, magavana wa majimbo, wakuu wa jeshi, na ma-rais wa zamani, wameiomba tume ya uchaguzi ijadili na pande zote kuhusu hali ya usalama nchini.
Kundi la wapiganaji Waislamu, Boko Haram, linafanya mashambulio makali kaskazini-mashariki mwa Nigeria ambako linadhibiti eneo kubwa.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni