Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Ijumaa, 7 Novemba 2014

HUARIBIFU WA AMAZON JANGA KWA BRAZIL

 
Mtaalamu wa masuala ya hali ya hewa ameiambia BBC kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya uharibifu wa mazingira katika msitu wa Amazon na mfululizo wa ukame nchini Brazil.
Sao Paulo
Takwimu zinaonye kuwa ukame huo umekuwa na madhara makubwa katika mji mkubwa nchini Brazil wa Sao Paulo.
Dr. Antonio Nobre ambaye ni mtaalamu wa hali ya hewa amesema vyanzo vya maji vinaweza kutoweka na kusababisha madhara kwa zaidi ya watu milion 20 iwapo hali hiyo ya uharibifu katika msitu wa Amazon hautadhibitiwa.
Baada ya kuwa ndani ya ukame kwa zaidi ya miaka nane mfululizo kina cha maji kwa sasa mjini Sao Paulo kipo katika hali ya hatari.
Serikali nchini humo iansema imelazimika kuanzisha mgao wa umeme kutokana na uhaba wa maji ikiwa ni moja ya hatua za dharula.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni