Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Alhamisi, 5 Februari 2015

ASKARI AUAWA WAKATI AKIOKOA MTOTO WA MIEZI NANE ASIUAWE.


Askari polisi mwenye namba G.7168 PC Joseph Swai (29) ameuawa kikatili juzi asubuhi baada ya kukatwa na panga kichwani wakati akimuokoa mtoto mwenye umri wa miezi nane asiuawe na baba yake mzazi. Kamanda wa polisi mkoani Dodoma, David Misime amesema tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 5 asubuhi katika kata ya Chang’ombe Juu iliyopo katika Manispaa ya Dodoma

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni