Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 2 Februari 2015

KABURI LA KAMANDA WA LRA LAPATIKANA


mwanajeshi wa LRA
Jeshi nchini Uganda linasema kuwa limegundua mabaki ya kamanda wa cheo cha juu wa kundi la waasi wa Lords Resistance Army LRA.
Okot Odhiambo ambaye alikuwa mmoja wa makamanda watano waliokuwa wakitafutwa na mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC huenda aliuawa kwenye mapigano mwaka 2013.
Uchunguzi wa DNA unafanywa kuthibitisha mabaki hayo.
Kiongozi wa LRA Jospeh Kony
Kamanda mwingine wa LRA Dominic Ongwen alifikiswa mbele ya mahakama ya ICC wiki iliyopita.
Hata hivyo kiongozi wa LRA Joseph Kony bado yuko mafichoni.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni