Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 2 Februari 2015

WANYONGWA KWA KUFANYA USHIRIKINA CHINA


Zhang Lidong
Wanachama wawili wa kundi la ushirikina nchini Uchina wamenyongwa kwa madai ya kumuua mwanamke mmoja katika mkahawa wa McDonald's.
Mwanamke huyo alichapwa na wanachama wa kundi hilo, linalojulikana kama kanisa la Mwenyezi Mungu, baada ya kukataa kuwapa nambari ya simu yake.
Mashambulizi hayo yalitokea katika jimbo la mashariki mwa Shangdong Mei mwaka jana.
Macdonald
Vyombo vya habari vya Kichina vimesema wanachama hao wa ushirikina waliyouawa ni baba na binti yake.
Kanisa hilo linaamini kuwa yesu alifufuka kama mwanamke wa kichina
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni