Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumapili, 1 Februari 2015

SUDANIKUSINIHATIYAAMANIYASAINIWA


Salva Kirr
Rais wa Sudan Kusini , Salva Kiir, na kiongozi wa waasi, Riek Machar, wametiliana saini kuundwa kwa serikali ya kugawana madaraka kuhitimisha vita vya zaidi ya mwaka mmoja.
Makubaliano hayo yamefikiwa katika mji mkuu wa Adiss Ababa, Addis Ababa.wanaume hao wawili wamekubaliana kuhitimisha mapigano na vita vya wenyewe kwa wenyewe mpaka kufikia March tano.
Kwa muda kidogo washauri namna gani ya kuunda mfumo wa serikali ya kugawana madaraka.
Taarifa ambazo BBC haijazithibitisha zinaeleza kwamba Rais Salva Kiir atasalia kuwa Rais wa nchi hiyo na Riek Machar atateuliwa kushika wadhifa wa maakamu wa Rais. Vyama hivyo viwili viliingia kwenye mapigano mara tu baada ya Machar kutimuliwa kwenye wadhifa wa makamu raisi mnamo mwezi December mwaka 2013.
Mazungumzo kadhaa kama hayo ya kutafuta suluhu yalishindwa kuzaa matunda.
CHANZOBBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni