Shule

Shule
Shule ya secondary Lilasia yenye usajili no. 3878 inatoa nafasi za kujiunga na kidato cha 1 mwaka 2015 shule ni ya kutwa na bweni. ofa! lipia kwa awamu nne. mawasiliano:- 0754 504 132/ 0756 240 471/ 0754 985 772 Wahi sasa nafasi ni chache

Jumatatu, 2 Februari 2015

MAJARIBIO YA CHANZO YA EBOLA KUANZA


chanjo ya ebola
Majaribio makubwa ya chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola, yanapangiwa kuanza hatimaye nchini Liberia.
Matarajio ni kuwa zaidi ya watu elfu thelathini watajitokeza katika zoezi hilo kubwa la majaribio ya chanjo hiyo iliyotengezwa na kampuni mbili za GSK na Merck.
Majaribio ya chango ya ebola
Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, zaidi ya watu elfu tisa wamefariki katika mlipuko huo mkubwa wa Ebola.
Mataifa yaliyoathirika magharibi mwa Afrika ni pamoja na Guinea, Sierra Leone na Liberia.
CHANZO BBC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni